
Nafasi 8 za Ajira Mpya RUWASA Chunya Nafasi za Kazi 2025
RUWASA (Wakala wa Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini) imetangaza nafasi mpya za ajira kwa mwaka 2025. Katika tangazo la hivi karibuni, RUWASA inakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa kujaza nafasi mbalimbali katika ofisi zake za wilaya, ikiwemo Chunya. Nafasi zilizotangazwa ni pamoja na: •Mafundi Wasaidizi wa Skimu za Maji (Assistant Water…