April 2025

Nafasi 48 za kazi kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ni chuo kikuu cha umma kongwe na kinachoongoza nchini Tanzania. Kipo kilomita 13 upande wa magharibi wa jiji la Dar es Salaam, kikiwa na ekari 1,625 kwenye eneo la Mlimani, lililojulikana kwa jina la “Observation Hill” kwa Kiingereza. Kilianzishwa tarehe 25 Oktoba 1961 kama Chuo Kikuu Kishiriki cha…

Form five selection 2025/ waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano pamoja na vyuo vya kati 2025
Matokeo ya uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na vyuo vya kati kwa mwaka 2025 yanatarajiwa kutangazwa rasmi na Ofisi ya Rais – TAMISEMI mnamo Mei 2025. Ili kupata orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa, unaweza kutembelea tovuti rasmi ya TAMISEMI kupitia kiungo hiki: Kwenye tovuti hiyo, utaweza kuchagua mkoa uliosoma na…