Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Na Veta 2025 (VETA Selected Applicants For 2025 Intake)

Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Na Veta 2025 (VETA Selected Applicants For 2025 Intake) Mikoa yote Tanzania Nzima

Kila mwaka, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inafanya udahili wanafunzi wapya katika vituo mbalimbali vya mafunzo vilivopo katika mikoa yote nchini ili kukidhi mahitaji ya soko la ajira na kukuza ujuzi kwa vijana ambao ni muhimu katika kuendeleza viwanda na biashara nchini Tanzania. Aidha, Kwa mwaka 2024/2025, VETA imetoa fursa za…

Read More
VETA Busokelo: Kozi Zinazotolewa, Ada Zake Na Fomu Za Kujiunga Kwa Mwaka 2025

VETA Busokelo: Kozi Zinazotolewa, Ada Zake Na Fomu Za Kujiunga Kwa Mwaka 2025

Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Busokelo kinajulikana kwa kutoa mafunzo yenye viwango bora vinavyowandaa wanafunzi kuwa wataalamu katika fani mbalimbali. Kozi zinazotolewa na Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Busokelo zinawawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo kwa lengo la kuwaandaa kwa soko la ajira au hata kujiajiri wenyewe. Kozi hizi zimelenga kukuza ujuzi wa vitendo ambao unatambulika…

Read More
Back To Top