MATOKEO YA DARASA LA NNE TANZANIA MIKOA YOTE2025/MIKOA YOTE TANZANIA MATOKEO YA DARASA LA IV 2025
Baraza la Mitihani la Tanzania limeandaliwa na bunge la Tanzania kwa kifungu cha sheria namba 21 ya mwaka 1973. NECTA ni chombo chenye majukumu makubwa ya kusimamia mitihani yote ya taifa hapa Tanzania. Na principal za chombo hiki zinapatikana Tanzania hapa Tanzania.
Matokeo ya kidato cha nne ya NECTA yatatoka Disemba mwaka huu, tunatarajia wanafunzi wengi kufaulu vizuri mitihani yao ili waweze kuendelea na darasa la tano mwaka wa masomo 2025.
MATOKEO YA UPIMAJI WA TAIFA DARASA LA NNE (SFNA) MWAKA 2024/2025 KIUNGO RASMI MIKOA YOTE TANZANIA
Unaweza kuangalia matokeo kupitia tovuti rasmi ya necta necta.go.tz
Unaweza kutumia kiungo hiki ambapo matokeo yametolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania pia kwa kufuata hatua zifuatazo ili uweze kuangalia matokeo haya ya urais bila kipingamizi.
JINSI YA KUANGALIA (SFNA) MKOA WA TANZANIA-HATUA ZA KUZINGATIA
*tembelea tovuti rasmi ya necta https;//results.necta.go.tz
* bofya kiungo cha (SFNA) 2025 cha tanzania
*Ukurasa mpya utafunguliwa ambao una orodha ya vituo vyote na kisha utaweza kuchagua kituo chako
*hapo utaweza kupakua na kuhifadhi kwa matumizi ya baadaye.
TOVUTI NYINGINE UNAYOWEZA KUTUMIA KUANGALIA MATOKEO YA MIKOA YOTE TANZANIA
*https://necta.go.tz/sfna_results
*https://onlinesys.necta.go.tz/
*https://www.tanzania.go.tz/news/news_listing