Mkopo wa elimu ya juu unaombwaje?

  • Maombi yote yanafanywa kwa njia ya mtandao wa Bodi ya Mikopo

  • Kila mwombaji anapaswa kusoma kwa makini mwongozo unaotolewa ndani ya mwaka husika wa masomo

  • Mwombaji atumie namba ya mtihani wa kidato cha nne kujisajili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back To Top