Mwanafunzi/Mwombaji wa mkopo hajaridhika na kiwango cha mkopo alichopatiwa au hajapangiwa mkopo anatakiwa kufanya nini?

  • Fursa ya kukata rufaa hutolewa baada ya kukamilisha zoezi la kupanga mikopo

  • Ikitokea mwombaji akakosa kwenye rufaa, atapata fursa ya kuomba tena kwa mwaka unaofatia

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back To Top