Skip to content
-
Cheti cha kuzaliwa cha mwombaji kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
-
Cheti cha kifo ikiwa umepoteza mzazi kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
-
iKitambulisho cha mdhamini (NIDA, Mpiga Kura, Leseni ya Udereva au Pasi ya Kusafiria). Unaweza kutumia kimoja kati ya vitambulisho hivi
-
Fomu ya ufadhili iliyojazwa kwa usahihi ikiwa ulifadhiliwa katika masomo ya sekondari
-
Barua ya Mganga Mkuu wa Wilaya au Mkoa ikiwa mwombaji au mzazi wake ana ulemavu vii.
-
Picha (passport size) za mwombaji wa mkopo na mdhamini wake (mdhamini anaweza kuwa mzazi au mlezi)
Back To Top