Tangazo la kazi kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI)

Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) imetangaza nafasi 26 za ajira kwa wataalamu mbalimbali kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) na Ajira Portal. Nafasi hizi zinajumuisha: 1.ICT Officer (Programmer) Nafasi: 1 Majukumu: Kusimamia na kuendeleza mifumo ya TEHAMA ndani ya MOI. 2.Technician (Mechanical) Nafasi: 1 Majukumu: Kufanya matengenezo ya mitambo na…

Read More

Kuitwa Kazini Serikalini, UTUMISHI February 2025

Kuitwa Kazini Serikalini, UTUMISHI – Februari 2025 Angalia Majina ya Walioitwa Kazini UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Serikali kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawatangazia waombaji wa ajira waliopata nafasi za kazi katika taasisi mbalimbali za umma. Sekretarieti ya Ajira ni idara huru ya serikali iliyoanzishwa kwa mujibu wa Sheria…

Read More

Wito wa Usaili katika Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA)

Wito wa Usaili katika Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) anapenda kuwajulisha waombaji wote wa nafasi mbalimbali za ajira kuwa usaili umepangwa kufanyika kuanzia tarehe 22 Februari, 2025 (usaili wa maandishi) hadi tarehe 23 Februari, 2025 (usaili wa mdomo). 📍 Mahali: Chuo Kikuu Kishiriki…

Read More
Back To Top