
Waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano Mwanza sekondari
Katika mwaka wa masomo 2024/2025, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imetangaza rasmi majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano pamoja na Vyuo vya Kati katika Wilaya zote za Mkoa wa Mwanza, kupitia mfumo wa Selform. Utaratibu huu unahusisha wanafunzi waliofaulu Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne (CSEE) na waliyojitolea kushiriki maombi mtandaoni,…