
Waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano wilaya ya Tunduru 2025
Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka wa masomo 2024/2025 katika Wilaya ya Tunduru yametangazwa rasmi na Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia mfumo wa Selform. Orodha hii inajumuisha wanafunzi waliopangiwa shule mbalimbali za sekondari na vyuo vya kati nchini. Jinsi ya Kuangalia Majina ya Waliochaguliwa Ili kuona orodha ya wanafunzi waliopangiwa…